mlinda mlango wa timu ya Mounti meru worrius akiwa anavua viatu mara baada yakupewa kadi nyekundu na kutoka nje
kocha madaraka bendera akiendelea kutoa somo kwa wachezaji wake
Apo wachezaji wa U-23 wakiwa wamemkaba mchezaji wa Arusha
kikosi cha maunti meru worrius wakiwa wanafanya dua
kikosi cha timu ya taifa ya vijana chini ya miaka U-23 wakifanya dua wakati ya mechi yao ya mwisho ya wao pamoja na Mounti Meru worrius ambapo walitoka sare ya bao 1-1
Kocha wa timu ya Mounti meru worrias Madaraka Bendera akiwapa maelekezo wachezaji wake katika kipindi cha mapumziko
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia