Baadhi
ya Wanamuziki wa SKYLIGHT BAND wakishambulia Jukwaa mwishoni mwa wiki
katika show ya kukata na shoka kwenye kiota chenye upepo mwanana cha
THAI VILLAGE Masaki jijini Dar es Salaam. Pichani ni Rappa Sam Machozi
akisindikizwa na Wenzake Aneth Kushaba AK 47 pamoja na SONY MASAMBA.
Sam
Machozi kazini. Hapa unapata kila kitu Style zote za muziki kuanzia
Dancehall, Reggae, R & B, Azonto na nyinginezo bila kusahau Kwaito.
Mdogo mdogo wapenzi wa Skylight Band wakaanza kujimwaga kwenye dancing floor
Wadau wa Skylight Band na nyuso za furaha.
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia