Ticker

6/recent/ticker-posts

TAN COMMUNICATION MEDIA YAFUTURISHA JIJINI ARUSHA

 

IMG_3297
 Mkurugenzi wa Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha  Bw Robert Francis wakati  akifuturisha,hafla iliyofanyika katika studio za redio hiyo zilizopo Njiro jijiniArusha iliyoudhuriwa na Viongozi wa dini na wadau wengine
IMG_3270
Sheikh Mkuu wa Bakwata mkoa wa Arusha,Shaaban Juma aliyekuwa mgeni rasmi katika halfa hiyo iliyoandaliwa na kampuni ya Tan Communication Media
IMG_3278
Mbunge wa Arusha Godbless Lema  wa pili kutoka  kushoto naye alihudhuria halfa hiyo
IMG_3267
Mkurugenzi wa Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha  Bw Robert Francis  akiwa na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema
IMG_3319
David Lwekiza Rwenyagira ambaye pia ni mtangazaji wa kituo hicho ndiye aliyekuwa MC
IMG_3325
Mchekeshaji  kutoka nchini kenya Peter Sankale maarufu kama "Olexander Jospat"katika igizo la VIOJA MAHAKAMANI akitoa burudani baada ya Futari
IMG_3312IMG_3328Mkurugenzi akitoa nenoIMG_3320IMG_3310IMG_3299IMG_3308wananchi walioshiriki futari hiyo IMG_3336Wageni waalikwa walitembelea studio IMG_3294wagemi wakiendel;ea kupakua futariIMG_3282  IMG_3260 IMG-20140716-WA0018 
IMG-20140716-WA0028
 Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Arusha, Isaack Joseph akikaribishwa na mkurugenzi wa kituo hicho Robert Francis
IMG-20140716-WA0029
 Mkurugenzi wa kituo cha Redio 5  Robert Francis akisalimiana na mke wa Mbunge wa Arusha
IMG-20140716-WA0020
Wafanyakazi wa Redio 5
 PICHA ZOTE KWA HISANI YA woindeshizza blog

Post a Comment

0 Comments