Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS KIKWETE ATEMBELEA WILAYA YA CHAMWINO KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA DODOMA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Fatma S. Ally alipowasili wilayani humo kukagua miradi ya maendeleo na kuzungumza na wananchi
 Rais Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wilayani humo
  Rais Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wilayani humo
 Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde "Kibajaji"
 Ujumbe toka kwa wanafunzi wa shule ya msingi ya Msanga
 Kikundi cha utamaduni cha Shule ya Msingi ya Msanga kikitumbuiza
 Rais Kikwete akiangalia ngoma ya Kigogo ikichezwa na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Msanga
 Rais Kiwkete akiwapongeza wacheza ngoma wa Shule ya Msingi ya Msanga
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Rehema Nchimbi akishauriana jambo na Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally
 Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally akitoa taarifa ya Wilaya
 Watendaji wa Wilaya ya Chamwino wakiwa katika kikao na Rais Kikwete
 Rais Kikwete akitoa ushauri na maagizo kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali
 Watendaji wa Wilaya wakisikiliza kwa makini
 Katibu Tawala wa Wilaya ya Chamwino akifafanua jambo
 Mwalimu Silvanus Hosea wa shule ya Bwigiri ambaye ni mwalimu mwenye ulemavu wa macho akitoa maoni yake
 Mwakilishi wa shirika la kimataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) akifafanua juu ya mradi wa chakula kwa wanafunzi mashuleni
 Rais Kikwete akitoa ushauri wa njia bora za kuendeleza mradi wa chakula kwa wanafunzi mashuleni
 Vijana waliomaliza elimu ya juu na kuamua kujishuhghulisha na mradi wa kilimo wilayani Chamwino wakitambulishwa. Rais Kikwete ameahidi kuwapatia trekta ili kuongeza tija
 Mmoja wa wataalamu wa miradi akitambulishwa 
 Rais Kikwete akisalimiana na Mwalimu Silvanus Hosea wa shule ya Bwigiri
 Rais Kikwete akisalimiana na wahandisi wa mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
 Sehemu ya mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashuari ya wilaya ya Chwamwino
 Wananchi wakifurahia katika sherehe za uwekaji wa jiwwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
 Kikundi cha utamaduni cha kinamama kikitumbuiza katika sherehe za uwekaji wa jiwwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
 Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally akimkaribisha Rais Kikwete na ujumbe wake
 Katibu tawala wa Wilaya ya Chamwino akitoa muhtasari wa mradi wa ujenzi wa jengo la halmashauri ya wilaya hiyo
 Mbunge wa jimbo la Chamwino Mh. Chibulunje akizungumza katika sherehe hizo ambapo alitangaza nia ya kutogombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao mwakani
 Rais Kikwete akimpongeza Mbunge wa Chamwino Mhe Chibuluje kwa kutangaza hadharani nia yake ya kutogombea tena nafasi hiyo 
 Rais Kikwete akizungumza na wananchi
 Rais Kikwete na Mbunge wa jimbo la Chamwino Mhe Chibuluje wakifunua kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
 Vifijo mara baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
 Rais Kikwete akipata maelezo ya  mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
 Bango la mradi
 Rais Kikwete akilakiwa na walimu wa Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela alipowasili ili kuzindua  maabara ya masomo ya sayansi
 Rais Kikwete akikaribishwa kwa ngoma  Shule ya Seko

Post a Comment

0 Comments