Ticker

6/recent/ticker-posts

TANZIA: MWANDISHI WA HABARI WA MTANZANIA AMEFARIKI DUNIA GHAFLA



Innocent Munyuku enzi za uhai wake.
Mwandishi nguli anayeandikia gazeti la MTANZANIA, linalochapishwa na Kampuni ya New Habari (2006) Ltd. yenye maskani yake Sinza Kijiweni Jijijini Dar es salaam, INNOCENT MUNYUKU, amefariki dunia ghafla nyumbani kwake Rombo Kimara three hrs back. Taratibu zingine nitawajulisha.

HAFIDH KIDO ANASEMA...

What is going on here?....someone called me but am not yet to believe this..

KAMBI MBWANA ANASEMA HIVI...

Namjua Sana Kaka Innocent Munyuku. Alikuwa Mmoja Wa Watu Walionijenga Katika Tasnia Ya Habari. Kupokea Kwa Taarifa Ya Kifo Chako Kilichotokea Usiku Wa Kuamkia Leo Nimeshtushwa Sana. Pumzika Kwa Amani Kamanda Munyuku. Umetuacha Wapweke Komrade. Mimi Na Wadau Wote Wa Taasisi Ya Handeni Kwetu Foundation Tumepokea Taarifa Hizi Kwa Masikitiko Makubwa, Hapa Handeni, Mkoani Tanga. Poleni Sana New Habari 2006 Ltd, Poleni Sana Waandishi Wote Duniani.

Post a Comment

0 Comments