Ticker

6/recent/ticker-posts

WILAYA YA ARUSHA IMETENGA KIASI CHA SHILINGI BILIONI 42.7 KWA AJILI YA BAJETI

 Mbunge wa Arumeru Magharibi Goodluck Ole Medeye akifafanua jambo katika kikao cha Baraza la madiwani kilichojadili bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Arusha mjini kwa mwaka 2015/2016 ambapo kiasi cha shilingi bilioni 42.7 zimetengwa kusaidia upatikanaji wa huduma za maji,afya na elimu kama vipaumbele vikuu.Kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Arusha Fidelis Lumato,Mwenyekiti wa Halmashauri Saimon Saning`o na kaimu Mwenyekiti Anna Agatha Msuya.Kikao hicho kilifanyika  katika ukumbi wa Halmashauri.
MBUNGE WA ARUMERU MAGHARIBI GOODLUCK OLE MEDEYE AKIFAFANUA JAMBO KATIKAKIKAO CHA KUJADILI BAJETI HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA ,AMBAPO KIASI CHA SHILINGI BILIONI 42.7 ZIMETENGWA.

Post a Comment

0 Comments