Ticker

6/recent/ticker-posts

BREAKING NEWS MVUA KUBWA YA MAWE NA UPEPO YAUWA WATU ZAIDI YA 30 USIKU WA KUAMKIA LEO HUKO KAHAMA

ZAIDI ya watu 30 wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo na wengine kujeruhiwa ,Tukio hilo limetokea Isaka kahama kutokana na mvua kubwa ya mawe na upepo iliyonyeshausiku kucha  ,taarifa zaidi zinafatiliwa ,poleni wote mliokutwa na janga hilo

Post a Comment

0 Comments