Ticker

6/recent/ticker-posts

HAYA NDIO BAADHI YA MATUKIO YALIYOTOKEA KATIKA HARUSI YA MTOTO WA NABIII MKUU WA KANISA LA NGURUMO YA UPAKO GEORDAVIE



  Ken na  Lulu's wakiwa mbele ya kanisa wakati wa ndoa yao iliyofungiwa hemani kisongo 
 hii ndio familia ya nabii mkuu wa kanisa la ngurumo ya upako nabii geodavie  akiwa na mkewe  mama Anna
 msafara wa magaari uliokuwa umewabeba bwana harusi ken pamoja na bibi harusi lulu

wa kwanza kushoto ni baba mweshimiwa nabii geordavie  akifuatiwa na mkwe wake Lulu huku wa kwanza kulia akiwa ni mke wa mh nabii geordavie mama Anna  pamoja na mtoto wao Kenn

Post a Comment

0 Comments