TAMASHA LA SIMBA LAFANA ARUSHA


mshabiki wa timu ya yanga aliyetambulika kwa jina moja la Rama Yanga akiwa amekwedwa na washabiki wa timu yaSimba mara baada ya kuingia kwenye tamasha la simba na nguo zenye rangi ya yanga




mgeni rasmi wa tamasha hilo ambaye ni mkurugenzi wa Tanapa Allan Kijazi akiwa anasalimiana na wachezaji wa timu ya Victors wa Uganda wakati akikagua timu.

Mkurugenzi wa Tanapa Allan Kijazi akiwa na Makamu Mwenyekiti wa timu ya simba Godfrey Nyange walipokuwa wanatambulisha jezi mpya ambayo timu hiyo itaitumia katika msimu wa ligi ujao



mashabiki wa mkoani dar es salaam wa timu ya simba wakiwa wanashangilia mara baada ya timu yao kuingia uwanjani

kaimu mwenyekiti wa timu ya simba aliyevaa tisheti nyekundu Kaburu akiwa amewatembelea mashabiki wa timu ya yanga waliouthuria Tamasha lao wakibadilishana mawazo

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia