Mwili wa marehemu kanumba ukiwa unaingizwa katika uwanja wa Leaders klabu hivi leo asubui
Mamia walifurika kumuaga ndungu yetu steven Charles Kanumba
Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba akiwa anaelekea kwenye gari kwa ajili ya kuusindikiza mwili wa mtoto wake kaburini
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 Comments:
إرسال تعليق
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia