TAMASHA LILILOANDALIWA NA KITUO CHA RADIO 5 LAFANA ARUSHA


 timu ya mpira ya chuo kikuu cha Tumaini mkoni Arusha kikiwa kinajiandaa na mechi ya kirafiki na timu ya chuo cha  Uhasibu
 Wana vyuo waliouthuria tamasha hilo walipata semina ihusuyo maswala ya ukimwi  mara baada ya kumaliza michezo mbalimbali
wafanyakazi wa radio 5 akiwemo Linus kilembu pamoja na Vicki Kuvuna akiwa  wanafurahia na bango lao waliloliweka katika  wiwanja vya chuo cha makumira

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia