HUYU NDIE REDDS MISS TANZANIA 2013

 Mrembo Prisca Clement ambaye ni mwakilishi kutoka Sinza na Kanda ya Kinondoni usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30 wanao wania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji hilo dogo.

Shimdano hilo lilifanyika katika Hoteli ya Giraffe Ocean View ambako ndiko Kambi ya Warembo hao ilipo.
 Prisca akipita jukwaani mara baada y.a kutajwa kuwa ndio mshindi
 Prisca Clement (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wenzake aliyeshika nafasi ya pili Joyce Shayo (kushoto) na Lucy Tomeka aliyeshika nafasi ya tatu.
 Mambo yalikuwa hivyo kwa baadhi ya washiriki
 Lucy Tomeka akifanya vitu vyake
 Huyu ni kama Lil Bow Wow!!
 Huyu ni balaaaa
 Hapa jee
 Weeeeee
 Prisca alikula moto kama hana akili nzuri na kuibuka mshindi
 hii we acha tu...
 Huyu alitoka hivi...na twist kali aliicheza
 
PICHA KWA HISANI YA father kidevu blog

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia