HUYU NDIE REDDS MISS TANZANIA 2013
Mrembo
Prisca Clement ambaye ni mwakilishi kutoka Sinza na Kanda ya Kinondoni
usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kuwabagwa warembo wenzake 26 kati ya 30
wanao wania taji la Miss Tanzania mwaka huu na kufanikiwa kuwa mrembo
wa 3 kuingia Nusu Fainali ya Mashindano hayo baada ya kutwaa taji hilo
dogo.
Shimdano hilo lilifanyika katika Hoteli ya Giraffe Ocean View ambako ndiko Kambi ya Warembo hao ilipo.
Prisca akipita jukwaani mara baada y.a kutajwa kuwa ndio mshindi
Prisca
Clement (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washindi wenzake
aliyeshika nafasi ya pili Joyce Shayo (kushoto) na Lucy Tomeka
aliyeshika nafasi ya tatu.
Mambo yalikuwa hivyo kwa baadhi ya washiriki
Lucy Tomeka akifanya vitu vyake
Huyu ni kama Lil Bow Wow!!
Huyu ni balaaaa
Hapa jee
Weeeeee
Prisca alikula moto kama hana akili nzuri na kuibuka mshindi
hii we acha tu...
Huyu alitoka hivi...na twist kali aliicheza
PICHA KWA HISANI YA father kidevu blog

0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia