MASHUJAA MUSIC WANOGESHA USIKU WA PASAKA JIJINI ARUSHA
wasanii wa bendi ya mashujaa wakiimba baadhi ya nyimbo zao zilizokonga nyoyo za mashabiki mbalimbali walioudhuria katika ukumbi wa blue flame ulioko ndani ya jengo la Triple A
wakisakata rumba yote haya kuwapa raha wapenzi wa bendi ya mashujaa wa jijini Arusha
meza ya wafanyakazi wa megatrade ambo wamedhimini onyesho hili kupitia kinywaji chake cha K-Vant gin
SAMAHANI KWA JINSI PICHA ZINAVYOONEKANA WADAU WETU WA LIBENEKE




0 Comments:
إرسال تعليق
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia