BABA WA MBUNGE WA LUDEWA FILIKUNJOMBE AZIKWA
| Wabunge wakitoa heshima zao |
| Msanii wa bongo muvi Kety akitoa heshima za mwisho |
| Mbunge wa jimbo la Mwibara Kangi Lugola (CCM) akiwa na mbunge wa Kigoma Kaskazin Zitto Kabwe (Chadema) nyumbani kwa mbunge Deo Filikunjombe jimboni Ludewa |
| Mbunge Filikunjombe kulia akinywa pombe aina ya ulanzi huku mbunge Kangi Lugola na Zitto Kabwe katikati wakishuhudia |
| Mheshimiwa kangi akiuliza pombe hiyo |
| Askofu wa RC Njombe Afredy Maluma akitoa baraka za mwisho |
| Habari Kamili itakujia |
| Waziri mkuu mstaafu Edward Lowasa akifuatiwa na mbuge wa jimbo la Mwibara Kangi Lugola wakitoa heshima zao |
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia