VIKAO VYA MAHAKAMA YA RUFAA VYAFUNGULIWA RASMI IRINGA

 Mkuu wa wilaya Richard Kasesela  alishiriki katika ufunguzi wa vikao vya Mahakama ya Rufaa mjini Iringa vitakavyo endeshwa kwa wiki 2 na kusikiliza kesi 29 Vikao hivyo vitaongozwa na Jaji wa Mhakama ya Rufaa Jaji Sauda Mjasiri, akisaidiwa na jaji Stella Mgasha na Jaji Augustino Mwarija.


About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia