Mkuu
wa wilaya Richard Kasesela alishiriki katika ufunguzi wa vikao vya Mahakama ya Rufaa
mjini Iringa vitakavyo endeshwa kwa wiki 2 na kusikiliza kesi 29 Vikao
hivyo vitaongozwa na Jaji wa Mhakama ya Rufaa Jaji Sauda Mjasiri,
akisaidiwa na jaji Stella Mgasha na Jaji Augustino Mwarija.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 Comments:
إرسال تعليق
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia