MKUU WA WILAYA YA MONDULI IDDI HASSAN AKIZUNGUMZA KATIKA UZINDUZI WA JUKWAA LA UWEZESHAJI WA WANAWAKE KIUCHUMI

 Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya ya Monduli Rose Mhina  akifafanua jambo katika uzinduzi wa jukwaa la Uweshaji wa Wanawake kiuchumi
 Mkuu wa Wilaya ya Monduli Iddi Hassan akizungumza katika uzinduzi wa Jukwaa la Uwezeshaji wanawake Kiuchumi Ambalo lilihudhuriwa na wanawake kutoka kila kata ya Wilaya hiyo.
Viongozi wa Wilaya wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi wakiwa kwenye mkutano


About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia