Wapiganaji kutoka katika vyombo mbalimbali vya habari mkoani Arusha wakiwa wanajadili jambo katika siku ya kilele cha maathimisho ya siku ya ukimwi duniani wa kwanza kushoto ni mpiganaji kutoka radio uhuru Mustafa Leo anayemfuata ni Ramadhani Sywayombe kutoka gazeti la Mtanzania Daima na wakwanza kulia ni mpiga picha wa ITV Abuu Mkongo anayemfuata kulia ni mwandishi wa habari wa radio ya mkoani Arusha Yakubu Simba .

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia