Shalom Tanzania!
Baada ya kimya kirefu, mizunguko mingi ya ndani na nje ya nchi kihuduma, Hatimaye Mwanamama, Mtumishi, Mwimbaji alijinyakulia tuzo ya Uanamuziki bora wa nyimbo za injili Ukanda huu wa Afrika Mashariki, CHRISTINA SHUSHO, Sasa amekuja na jambo kubwa la kipee na hili ni TAMASHA LA KUSIFU NA KUMWABUDU MUNGU!

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia