HUU NDO MUONEKANO WA HAFLA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERAL KELVIN MSEMWA

Amiri Jeshi Mkuu Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zao za mwisho

Amiri
Jeshi Mkuu Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza mamia ya
waombolezaji na viongozi mbalimbali wa Serikali na JWTZ katika hafla ya
kuaga mwili wa aliyekuwa Kamishna wa Jeshi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi
la Kujenga Taifa Marehemu Meja Jenerali Kelvin Msemwa iliyofanyika
uwanja wa makao makuu ya Jeshi, Upanga, Dar es salaam, April 6, 2014.
Marehemu alifariki dunia April 3, 2014 katika hospitali ya Jeshi ya
Lugalo. Mwili wake unasafirishwa kuelekea Songea kwa mazishi April 7,
2014

Majenerali Wastaafu na walio kazini

Majenerali wastaafu na walio kazini

Jukwaa kuu

Rais Kikwete akiwa jukwaa kuu na viongozi wengine mbalimbali

Mama Salma Kikwete akiwa jukwaa kuu

Sehemu ya jukwaa kuu

Viongozi waliopata kuwa Mawaziri wa Ulinzi Profesa Philemon Sarungi na Dkt Emmanuel Nchimbi na viongozi wengie

Viongozi wa sasa na waliostaafu

Waombolezaji

Kikosi kazi cha maandalizi na utekelezaji

Mwili ukiwasili

Gari la mzinga likiwa limebeba mwili wa marehemu

Maafisa waandamizi wasindikizaji wa mwili wa marehemu

Mwili ukitelemshwa kutoka katika gari la mzinga

Hema kuu inasimama kama ishara ya heshima kwa marehemu

Jemedari Mkuu na viongozi wengine

Amiri Jeshi Mkuu akielekea kutoa heshima zake za mwisho

Amiri Jeshi Mkuu Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zao za mwisho

Wakitoa pole kwa wafiwa

Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akielekea kutoa heshima zake za mwisho

Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akitoa heshima zake za mwisho

Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akimfariji mjane wa marehemu

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi akielekea kutoa heshima zake za mwisho
0 Comments:
إرسال تعليق
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia