KAMPENI ZA LALA SALAMA ZA CCM JIMBO LA CHALINZE,ZAZIDI KUTIA FORA

Kaimu Katibu Mkuu wa CCM,Mwigulu Nchemba akimnadi Mgombea Ubunge katika
Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete
wakati wa Mkutano wa Kampeniza lala salama zilizofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Pera,iliyopo kwenye Kata ya
Pera,Chalinze.


Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze
(CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia wananchi wa Kata ya
Pera,pamoja na kunadi sera zake

Kaimu Katibu Mkuu wa CCM,Mwigulu Nchemba akitema cheche zake wakati wa
Mkutano wa Kampeni za CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi CCM,Nape Nnauye akiweka sawa taratibu za
Mkutano wa Kampeni za CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la
Chalinze,

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete akinadiwa kwa wananchi wa Chalinze na Mkewe,Arafa Kikwete.

Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete akinadiwa kwa wananchi wa Chalinze na Mkewe,Arafa Kikwete.














0 Comments:
إرسال تعليق
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia