Rais
Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete pamoja na
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Evarist Welle Ndikilo wakielekea soko kuu la
Chalinze kushirikiana na wananchi kufanya usafi wa mazingira leo
Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa
na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Rais
Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakifanya
usafi katika soko kuu la Chalinze leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni
kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa na Rais Dkt John Pombe
Joseph Magufuli
Rais
Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakifanya
usafi katika soko kuu la Chalinze leo Desemba 9, 2015 ikiwa ni
kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa na Rais Dkt John Pombe
Joseph Magufuli
Rais
Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na wananchi wa Chalinze baada ya
kushirikiana nao kufanya usafi wa mazingira ya soko kuu la Chalinze leo
Desemba 9, 2015 ikiwa ni kuadhimisha miaka 54 ya UHURU kama ilivyoagizwa
na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
RELATED POSTS
0
Comments:
إرسال تعليق
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia
0 Comments:
إرسال تعليق
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia