VIDEO: TAZAMA MAANDALIZI YA IKUNGI ELIMU CUP 2017 SINGIDA.

Uzinduzi wa ligi ya soka ya "Ikungi Elimu Cup 2017" unatarajia kufanyika kesho jumamosi Agosti 19,2017 katika wilaya ya Ikungi mkoani Singida. 

Fuatilia maandalizi ya ligi hiyo yenye lengo la kuhamasisha wananchi na wadau mbalimbali kushiriki kutatua changamoto za elimu na kuongeza ufaulu wilayani Ikungi.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia