TANGAZO: MTOTO YUNUS HUSSEIN MKAZI WA MBEZI JUU KAPOTEA.


                       
                                    YUNUS HUSSEIN  {ALIYEPOTEA}

MTOTO  YUNUS HUSSEIN PICHANI JUU MWENYE UMRI WA MIAKA 12 AMEPOTEA  NYUMBANI KWAO TOKEA TAREHE 8 MPAKA SASA HAJAONEKANA.
 HIVYO KWA YEYOTE ATAKAE MUONA MAHALA POPOTE ATOE TAARIFA KWA NAMBA ZIFUATAZO 0655090202/ 0655141464/ 06585000510
 AU ATOE TAARIFA KATIKA KITUO CHOCHOTE KILICHOPO KARIBU YAKE- MTOTO YUNUS ANAISHI MBEZI JUU JIJI DAR ES SALAAM NA RB NO NI MBJ/RB/236/2018.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia