MREMBO APEWA CHETI NA MTHAMINI


Warembo wa zamani na sasa


Mrembo wa Arusha ambaye pia ndo mrembo wa kitongoji cha Arusha mjini Zahara Seleman akipokea cheti cha kutoka kwa mthamini wake ambeye alimthani kozi ya miaka miwili kutoka katika chuo cha Ttopical center Angelus Mamba wa pembeni ni muuandaaji wa miss Arusha Saida Kessy ambaye pia alisha wahi kuwa miss Tanzania 1997

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia