TANGAZO LA KIFO



Mrs Simbo Kusirie Mushi wa Machame Nkwarungo anasikitika kutangaza kifo cha mtoto wake mpendea Erika Simbo Mushi kilichotokea katika hospitali ya mkoa wa Arusha ,Mounti meru hospital jumamosi June 11 asubuhi mazishi yatafanyika Jumatano June 15nyumbani kwao Nkwarungo Machame moshi ,habari ziwafikie baba yake mdogo Andrew Kusirie akiwa safarini Dar es salaam,kaka zake Godfrey Biliamu wakiwa nchini Sweeden,Khalifani Kikwete akiwa Dar es salaam,Dr.Aidani Njau wa Agakani hospitali,mjomba wake Andrew Senyaeli Kileo akiwa Mererani Arusha,Ukoo wote Njau ,Kileo,Shangali pamoja na ndugu jamaa na marafiki wowote popote pale walipo.

Bwana Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe Amina,mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi .

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia