ASKARI WA USALAMA BARABARANI ARUSH A MPO WAPI


Jamani askari wa usalama barabarani Arusha mko wapi wananchi wanateseka sana eneo la Anex haswa nyakati za jioni kwani madereva daladala wanapaki ovyo kiasi cha kuzuia magari mengine yasipite mnafanya nini msiwachukulie sheria

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia