RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO TANZANIA AWATUNUKU VYEO WANAFUNZI MAOFISA JESHI MONDULI


 Amiri Jeshi mkuu Muheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride
 Wakitoa heshima mbele ya amiri jeshi mkuu
 vikosi vikipita mbele ya amirin jeshi mkuu



Maofisa Wanafunzi  5o6 wa jeshi la wananchi waliokuwa wanachukuwa mafunzo ya muda mfupi ya kijeshi wametunukiwa Kamishina na Raisi wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania Amiri jeshi mkuu,Muheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete sherehe zilizofanyikia katika chuo cha kijeshi cha Monduli kilichopo mkoani Arusha

Katika sherehe hizo jumla ya wanafunzi maofisa 69 ni wanawake na wanaume walikuwa ni wanafunzi maofisa 447  na katika wa maafisa hao walio waliopewa kamishana kuna maafisa wa fani mbalimbali ikiwemo Wauguzi ,walimu ,wanasheria ,Wahasibu pamoja na waandishi wa habari .

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia