JOHSTONE NA NOELA WALIVYO MEREMETA


Johstone Frank Maunda akimvisha pete mkewe kipenzi Noela Julian Kaigwa katika ibada takatifu iliyofanyika Agosti 23, 2014 katika Kanisa la MT. Albano Dar es Salaam. Ndoa hiyo ilifuatiwa na tafrija kubwa iliyofanyika katika ukumbi wa Coco Beach. 
 Johstone Frank Maunda na mkewe Noela Julian Kaigwa wakifuatilia mahubiri ya ndoa yao.
 Noela Julian Kaigwa akirembwa Salon
Noela Julian Kaigwa akimtengeneza msimamizi wake Tumaini Magdalena Libaba walipokuwa Salon.












About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia