TASWIRA MBALIMBALI YA JIJI LA ARUSHA

 JIji la Arusha linazidi kukuwa kila siku na jinsi  linavyozidi kukuwa ndio jinsi majengo marefu(magorofa) yanazidi kuongezeka gorofa hili ni moja ya mjengo ambao umezidi kuupendezesha jiji  hili kwani limefanya jiji hili kuzidi kuvutia japo alijamalizika

 wananchi wakiendelea na pilika pilika za mjini

kamera ya libeneke la kaskazini lilimnasa mdada huyu ambaye ni mwandishi wa gazeti la Jambo leo akiwa busy akisoma gazeti

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia