+SAUTI: BAADA YA NYASA BOY KUTOKA JIJINI MWANZA KUFANYA KAZI NA SAJNA, APATA NAFASI YA KUFANYA KAZI NA BARAKA DA PRINCE.

Nyasa Boy si jina geni miongoni mwa wasanii chipukizi kutoka Jijini Mwanza. Alianza kujulikana Jijini Mwanza mwaka mmoja uliopita baada ya kufanya kazi na Mc Darada, iliyoita Chongoroa.

 Mwaka huu 2016 ameachia wimbo mpya uitwao Mapenzi Nivute aliofanya na Sajna. Wimbo huo umefungua milango mipya kwani baada ya Baraka Da Prince kuusikia, hakusita kukubali kufanya kazi na Nyasa Boy ambaye anatokea kundi la Tanzania One la Jijini Mwanza.
Bonyeza HAPA Kusikiliza ama bonyeza Play hapo chini.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia