UVCCM YAENDA KUMFARIJI SAID ALIYETOBOLEWA MACHO


Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Dar Es Salam Ndg Omar Matulanga leo na viongozi mbali mbali wa UVCCM wamefika nyumbani kwa Ndg Saidi Ally, Mabibo hostel, kumjuilia hali na kumfariji kufuatia mkasa wa kutolewa macho na kujeruhiwa sehemu mbali mbali za mwili.


About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia