Mkuu wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Rosemary Staki amezindua
shughuli ya kupanda miti maeneo oevu/ kwenye vyanzo vya Maji katika Kata
ya Bwambo. Zoezi hilo limefanyika kwa ushirikiano na shirika lisilo la
kiserikali la Floresta.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia