SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA

 
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai  (kushoto) akimsikiliza  Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke  wakati akizungumza naye Ofisini kwake Mjini Dodoma. 
 Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akimueleza jambo  Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke aliyemtembelea mapema leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke aliyemtembelea mapema leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akimsikiliza  Balozi wa Uingereza nchini Sarah Cooke  wakati akizungumza naye Ofisini kwake Mjini Dodoma.
    Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi kilichokutana kwa dharura kujadili kuhusu hoja ya kuahirisha Bunge kufuatia kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge la Tisa Marehemu Samwel Sitta ambapo Kikao hicho kiliridhia Bunge liahirishwe ili Waheshimiwa Wabunge wapate muda wa kuomboleza kufuatia Msiba huo. 
Picha na Ofisi ya Bunge.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia