Ticker

6/recent/ticker-posts

DIWANI WA CCM KATA YA MOSHONO,PAUL MATHYSSEN AHAMIA CHADEMA RASMI


Kazi ilioko katika jimbo la arusha mjini kila kukicha kabla ya baba yao kujiunga na chadema ni kuwavua madiwani watendaji wa kata na wenyeviti wa vijana ccm ndio kinacho endelea haya ni maneno ya mwenyekiti magoma jr magoma alivyo mpokea diwani wa kata moshono wa ccm kujiunga na chadema 

Post a Comment

0 Comments