HUZUNI YATANDA MIILI YA MASHUJAA 7 WA JWTZ WALIUAWA SUDAN YAWASILI DAR

 Moja ya majeneza yenye miili ya Askari 7  waliuawa na waasi wakilinda amani Darfur, Sudan, likishushwa kutoka kwenye ndege ya Umoja wa Mataifa (UN), baada ya kuwasili leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.


                           Baadhi ya wanafamilia wakiwa na huzuni wakati wa mapokezi hayo



Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akiwa na  baadhi ya viongozi waliofika kupokea miili hiyo.





 

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia