RAISA NDIO REDD'S MISS KANDA YA KASKAZINI 2014

 hawa ndio washindi wa redd's miss kanda ya kaskazini kwa mwaka 2014


 hawa ni wadhimini wa shindano hilo kutoka minjingu






LEMUTUZ nae alikuwemo ndani ya Redd's miss kanda ya kaskazini  bila kumsahau mwenyekiti wa Taswa Juma pinto


 mkuu wa mkoa wa Arusha pamoja na mkuu wa mkoa wa Manyara waliuthuria katika usiku huo wa kumsaka mrembo wa kanda ya kaskazini ambapo katika shindano hilo warembo wanne wamwanzo watakingia katika kambi ya Redd's miss Tanzania
 mh hashimu Lundenga akiwa anatangaza washindi wa tatu bora
 watembo wakiwa wameingia ukumbini wakicheza wimbo wa ufunguzi





 papa mwandago akimwaga maneno akiwa kama muandaaji mkuu wa shindano hili

 hawa ndio warembo walioingia tano bora

 waandaji wa shindano hilo wakiwa wamekaa kwa mapozi wakifuatilia shindano

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia