HAPPY BIRTH DAY MUKE YA LAIGWANAN MKUU EDWARD LOWASSA



 Juni 8 ya kila mwaka ni ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Ngoyae Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Monduli mkoani Arusha na Laigwanan Mkuu. 

Father Kidevu Blog inaungana na Familia yake pamoja na wana Monduli na watanzania kwa ujumla kumtakia heri na fanaka lakini kubwa zaidi kumuombea kwa Mungu amjalie HEKIMA na BUSARA zaidi katika maisha anayo mjalia. 

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia