jamani wadau wa libeneke la kaskazini habari zetu ,watu wangu eeh nilikuwa nawaambia kuna watu wanatabia ya ku copy na paste alafu kibaya zaidi watu hawaweki wametoa wapi nawaomba kuweni wa staarabu mambo hayo hayapendezi jirekebisheni sio ishu ivyo mnavyofanya ukichukuwa andika umetoa wapi bwana pamoja aendeleeni kuperuzi libeneke la kaskazini ila take care

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia