SIMBA YAIRARUA AZAM BAO 3-1

Emmanuel Okwi kulia akiwania mpira na Aggrey Moris wa Azam katika pambano kali lililochezwa jana kwenye uwanja Mkuu wa Taifa Dar es saalam huku likishuhudia Simba ikiirarua Azam kwa bao 3-1 licha ya azam kuongoza kufunga. Okwi alipiga goli mbili mwenyewe katika mchezo huo. kwa matokeo hayo Simba imeendelea kushikilia usukani ikiongoza kwa point moja ikifuatiwa na watani wao wa jadi Yanga iliyopata ushindi kiduchu wa bao 1-0 jana dhidi ya JKT Oljoro ya Arusha.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia