MDAU IKONKO ALA NONDO

Nicodemus Ikonko wa Shirika la Habari la Hirondelle, akivishwa mataji na dada yake, Agatha Ikonko baada ya kutunukiwa shahada ya kwanza ya Uandishi wa Habari, BA (Journalism) katika mahafali ya 24 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, katika sherehe iliyofanyika makao makuu ya chuo hicho yaliyopo Bungo, Kibaha,mkoani Pwani, Oktoba 27, 2012.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia