Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (pichani) ameibuka Kidedea na kuvunja rekodi ya Mwaka baada ya kutetea nafasi yake ya Ujumbe UVCCM kwa kupata kura 501 ambazo ni nyingi kuliko hata Mwenyekiti katika chaguzi zilizofanyika mjini Dodoma. Na Mdau Dodoma
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 Comments:
إرسال تعليق
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia