KICHAPO CHA AZAM JANA NI MATOKEO YA MAWASILIANO MABOVU: KAVUMBAGU


MSHAMBULIAJI wa Azam raia wa Burundi Didier Kavumbagu,amesema matokeo mabaya iliyoipata timu yake dhidi ya Yanga Jumapili ilitokana na mawasiliano mabovu ya beki wao wakati.
Kavumbagu aliyejiunga na Azam msimu huu akitokea Yanga,aliiponda safu ya ushambuliaji ya Yanga kwa kusema ni yakawaida na kama yeye angekuwa beki fowadi hiyo isingeweza kufunga hata bao moja.
Kavumbagu amesema licha ya kupoteza mchezo huo lakini kikosi chao bado ni bora zaidi ya kile cha Yanga na wanauhakika mkubwa wa kutetea ubingwa wao msimu huu.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia