WANAHABARI WASHEREKEA MIAKA 20 YA UHURU WA HABARI



rais wa muungano wa vyombo vya habari Tanzania Keneth Simbaya akitoa mada kwa waandishi wa habari



baada ya sherehe watu wakaanza kubadilishana mawazo hapa ni Inkonko akibadilishana mawazo na david


Muwakilishi wa PPF akitoa mada kuhusiana na shirika hilo



DR.Diodurus Kamala akiongea na waandishi wa habari katika sherehe hyo.


waandishi wa habari wakiwa katika picha ya pamoja kwenye sherehe za miaka 20 za uhuru wa vyombo vya habari iliyofanyika katika hotel ya golden rose jijini Arusha

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia