NAIBU WAZIRI WA ARDHI,NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI,ANGELA KAIRUKI AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA MKOA WA KILIMANJARO JUU YA TUHUMA MBALIMBALI ZA ARDHI ZILIZOIBULIWA BUNGENI HII KARIBUNI.
![]() |
| Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na maendeleo ya Makazi,Angela Kairuki akiteta jambo na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama katika mkutano huo. |
![]() |
| Baadhi ya viongozi pamoja na watumishi wengine walioshiriki mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro. |
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidss Gama akizungumza katika mkutano huo. |
![]() |
| Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rombo,Anthony Tesha akitoa taarifa juu ya kiwanja kilichotolewa kwa waweezaji na halmashauri hiyo kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha saruji. |
![]() |
| Mkurugenzi wa Halamshauri ya wilaya ya Moshi,Fulgence Mponji akitoa ufafanuz juu ya mgogoro wa kiwanja kinachomilikiwa naaliyekuwa mbunge wa jimbo la Vunjo ,Aloyce Kimaro. |












0 Comments:
إرسال تعليق
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia