Ticker

6/recent/ticker-posts

MAELFU WAJITOKEZA KATIKA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO MJINI IRINGA LEO

  KIONGOZI MKUU WA CHAMA TAIFA ZITTO KABWE akiwa anawahutubia wananchi wa  iringa hii leo katika uwanja wa mwembetogwa

MWENYEKITI WA CHAMA TAIFA ANNA MGHWIRM, akiwa ananongea na wananchi wa  Iringa
 burudani mbalimbali pia zilikuwepo katika mkutano huo
 umati wa watu waliouthuria katika mkutano wa ACT- wazalendo  uliofanyika mjini  Iringa
WABUNGE wametakiwa kuacha porojo nyingi na badala yake kuwaeleza wananchi wao nini wamefanya katika kipindi   chao cha uongozi 

hayo yamesemwa leo na kiongozi mkuu wa chama cha ACT-wazalendo Zito Kabwe wakati akiwahutubia wananchi wa  mjini Iringa katika  mkutano wa hazara uliofanyika katika viwana vya mwembetogwa 

Alisema kuwa huu ni muda muafaka wa kila mbunge kuwaeleza wananachi wake nini amewafanyia na sio muda wa kuanza kutupiana namaneno na porojo nyingi .

Post a Comment

0 Comments