KILIMANJARO STAR WAJINOA KWA TUSKER CHALLENGE CUP INAYOTARAJIWA KUANZA JUMAMOSI JIJINI KAMPALA.





Wachezaji wa Kilimanajro Stars inayoiwakilisha Tanzania Bara wakiwa mazoezini katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Kombe la Tusker CECAFA Challenge yanayotarajiwa kuanza Jijini Kampala, Uganda Jumamosi hii. Timu hii inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia