MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI NAIROBI, KENYA


 Mwanasheria wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiongoza Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya hiyo. Kushoto ni bwana Wilbert Kawa Katikati ni bwana Dr. Richard Sezibera na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano Uganda. Mkutano huu umefanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Kenyetta  jijini Nairobi
 Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Samweli Sitta pamoja na Waziri wa Uchukuzi Dkt Harrison Mwakyemba (wa pili kulia) , Waziri wa nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Mhe. George Mkuchika (kushoto)  na Mhe Ole Nangoro Naibu Waziri Kilimo na Mifugo (kulia) wakifuatilia kwa makini jambo katika Mkutano wa Baraza la Mwawaziri wa Jumuiya  Jijini Nairobi.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Sethi Kamuhanda (kulia) akifuatilia kwa makini  mkutano unaoendelea Nairobi katika Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia