MKUTANO WA SADC PF WAFUNGULIWA ARUSHA NA MAKAMU WA RAIS

 Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal akifungua mkutano wa 34 wa Baraza la Mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC PF), jijini Arusha jana. 
 Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharibu Bilal akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufungua mkutano wa 34 wa Baraza la Mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC PF), jijini Arusha jana. Kushoto kwa Bilali ni Spika wa Bunge, Anne makinda na Kulia ni Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah.
Spika wa Bunge, Anne Makinda akizungumza kwenye ufunguzi wa mkutano wa 34 wa Baraza la Mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC PF), jijini Arusha jana. Picha na Ofisi ya Bunge

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

إرسال تعليق

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia