Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya ya Monduli Rose Mhina akifafanua jambo katika uzinduzi wa jukwaa la Uweshaji wa Wanawake kiuchumi
Mkuu wa Wilaya ya Monduli Iddi Hassan akizungumza katika uzinduzi wa Jukwaa la Uwezeshaji wanawake Kiuchumi Ambalo lilihudhuriwa na wanawake kutoka kila kata ya Wilaya hiyo.
Viongozi wa Wilaya wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi wakiwa kwenye mkutano
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia