MIICO YAENDELEA KUELIMISHA JAMII KUHUSU ARDHI NA KUHAMASISHA UJASIRIAMALI

 Na Woinde Shizza , Mbeya Shirika la MIICO limeendelea kuimarisha ustawi wa wazalishaji wadogo katika mikoa ya nyanda za juu kusini kwa kuwajengea uwezo katika masuala ya ardhi, ujasiriamali na uendelezaji wa masoko. Hatua hii inalenga kuongeza kipato, kupunguza migogoro ya ardhi na kuimarisha usalama waContinue Reading >

THBUB YAWAPIKA MSASA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA ARUSHA

 Na Bora Mustafa Fadhili - ArushaTume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeendesha mafunzo maalum kwa waandishi wa habari jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, MakamuContinue Reading >

TISEZA YATEMBELEA KONGANI YA BUZWAGI NA KUPONGEZA BARRICK KWA MCHAKATO WA KUFUNGA MGODI WA VIWANGO VYA KIMATAIFA

TISEZA YATEMBELEA KONGANI YA BUZWAGI NA KUPONGEZA BARRICK KWA MCHAKATO WA KUFUNGA MGODI WA VIWANGO VYA KIMATAIFA

ByWoinde Shizza
Ujumbe kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) ulipata fursa kutembelea maeneo ya wawekezaji mbalimbali kwenye eneo la Kongani ya Buzwagi.Ujumbe kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) ulipata fursa kutembelea maeneo ya wawekezaji mbalimbali kwenyeContinue Reading >

BENKI YA STANBIC YAWAWEZESHA WAFANYAKAZI WA MIGODINI GEITA KUKUA KIFEDHA

Geita ni kiini chaa sekta ya madini nchini Tanzania, ukiwa makazi ya maelfu ya wanaume na wanawake wanaochangia kwa bidii ukuaji wa uchumi wa taifa. Kwa kutambua mchango na ndoto zao, Benki ya Stanbic Tanzania imetangaza kujidhatiti katika kuwawezesha wafanyakazi wa migodini Geita kupitiaContinue Reading >

WAKULIMA WA NGANO WILAYANI MONDULI WALILIA SOKO LA JUMLA LA ZAO HILO.

WAKULIMA WA NGANO WILAYANI MONDULI WALILIA SOKO LA JUMLA LA ZAO HILO.

ByWoinde Shizza
 Wakulima wa zao la ngano wilayani Monduli, mkoa wa Arusha, wameiomba serikali iwasaidie kuwatafutia soko la jumla ili waweze kunufaika na jitihada la zao hilo.Wakizungumza wakati wa sherehe za siku ya wakulima wa ngano zilizofanyika katika Kijiji cha Lendikinya, wakulima hao walisema licha yaContinue Reading >

TASAC YATOA ELIMU YA USALAMA KWA WAMILIKI WA MABOTI MATEMA

TASAC YATOA ELIMU YA USALAMA KWA WAMILIKI WA MABOTI MATEMA

ByWoinde Shizza
 Mfawidhi wa TASAC Wilayani Kyela Naho. David Chiragi akiongeakatika kikao cha uhamasishaji kilichofanyika ufukweni mwa ziwa hiloShirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini limeendesha kampeni ya kutoa elimu kwa wamiliki wa boti, wafanyabiashara na wapakia mizigo katika kijijiContinue Reading >

AGROGHABE YAWAHIMIZA WAKULIMA KUTUMIA MBINU ZA KISASA ZA KILIMO NA UFUGAJI

AGROGHABE YAWAHIMIZA WAKULIMA KUTUMIA MBINU ZA KISASA ZA KILIMO NA UFUGAJI

ByWoinde Shizza
 Na Woinde Shizza ,MbeyaMeneja Mauzo na Masoko wa kampuni ya Agroghabe, Alex King, amewataka wakulima na wafugaji kote nchini kufuata ushauri wa wataalamu wa kilimo na mifugo ili kuongeza uzalishaji na kupata kipato chenye tija.Akizungumza jana katika Maonyesho ya Biashara ya Kanda ya KusiniContinue Reading >

BENO MALISA AFUNGUA MAONYESHO YA KUSINI FESTIVE

BENO MALISA AFUNGUA MAONYESHO YA KUSINI FESTIVE

ByWoinde Shizza
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Beno Malisa, amefungua rasmi Maonyesho ya Kusini Festive, akiwataka wananchi, wafanyabiashara na wawekezaji kuyatumia kama fursa ya kujitangaza, kujifunza na kukuza uchumi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Beno Malisa alisema maonyesho hayo yamekusanyaContinue Reading >

MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA YASHIRIKI MAONESHO YA BIASHARA MBEYA, YAWASHAURI WANANCHI KUTUMIA DAWA SAHIHI

 Meneja wa TMDA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Anitha Mshighatiakitoa maelezo  kwa mkuu wa mkoa wa mbeya Beno Malisa alipotembelea Katika banda lao  lililopo Katika maonyesho ya biashara Ya kimataifa  ya kanda ya nyanda za juu kusini Na Woinde Shizza ,MbeyaMamlaka ya Dawa naContinue Reading >